SPARK TOUR YAJIZOLEA UMAARUFU JIJI

TECNTecno spark, vimba na spark.ecno spark, vimba na spark. Mobile, kampuni inayoongoza kwa simu bora nchini Tanzania imetambulisha mfumo mpya wa burudani na matangazo nchini ukiambatana na simu mpya katika mpangalio wa matokeo mapya ya SPARK. Tecno Mobile imeanzisha mtindo mpya wa kuwafwata wateja wake mitaani na kuwapa burudani kupitia wanamuziki mbalimbali. Mtindo huo maarufu kama SPARK TOUR umekua maarufu katka kona za mitaa za Jiji la Dar es Salaam. Tecno Spark ambayo simu tambulishwa, ni simu ambayo imekua gumzo kwa kuwapa wateja wengi wa kampuni hiyo furaha kwani bei inayouzwa linganisa na ubora wa simu hiyo ni faida kubwa kwa wateja wa Tecno Spark. Kupitia simu hii ya SPARK vijana wa kitanzania wameshawishika kuwasha cheche za vipaji vyao na kuzionesha kupitia jukwaa la Tecno SPARK udhamini wa karibu wa Tecno Mobile. Afisa Mahusiano wa Tecno mobile Bwana. Eric Mkomoye amesema kua nia na madhmuni ya Tecno ni Kuendelea kuwaltea watanzania simu bora zenye uwezo mzur ila kwa bei wanazoziweza kutokna na vipaji vyao. Aliongeza kua SPARK TOUR itawafikisha watanznia wote nyanda za ziwa, kaskazini na hata mikoa ya katikati hivyo zawadi za aina mbalimbali ikiwemo Tecno spark yenyewe zitatolewa.
                  (Mitaa ya jiji la Dar es salaam ikiwashiwa cheche za burudani na SPARK TOUR)
Kama isemavyo kua kipaji chako ndio ufunguo wako , ndio inavyokua kwa vijana na watu wanonesha vipaji kupitia simu hii mtaa kwa mtaa jijini Dar es salaam, uvumizi wa kiburudani unafwanywa na  kamouni  Tecno Huku lengo likiwa pia kutoa nafasi kwa viijana wa kitanzania kuonesha uwezo wao ili waweze kusaidiwa.
Tecno SPARK imekuja ikiwa na utofauti mkubwa huu ikiigemea katika upande wa kiburudani zaidi .Simu inahamasisha vijana kua na mitindo  inatambulishwa ikiwa na kamera nzuri yenye picha ang’avu kwa 13MP, Teknolojia ya mix flash, usalama wa kibabe wa kutumia alama za vidole , kioo chake ni kina ukubwa wa inchi 5.5 , 16gb za kuweka vitu ndani wakati inasukuma data kwa 2gb ram. Tecno Spark inakuja ikiwa na rangi mbalimbali rangi nyeusi,(phatom black), rangi ya dhahabu (champagne gold) na rangi ya blue (coral blue).

                   (mitaa ya jiji la Dar es salaam ikiwashiwa cheche za burudani na SPARK TOUR)
             Tecno spark, vimba na spark.                    
                                                        
                                                .
                        
                                       

Post a Comment

0 Comments